iqna

IQNA

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwamjini Tehran ameyaasa na kuyataka mataifa ya Kiislamu kuwa macho na njama za maadui dhidi yao.
Habari ID: 3470588    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/01

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Swala ya Ijumaa mjini Tehran ametoa wito kwa mataifa yote ya Waislamu kuwa na umoja mbele ya njama za ustikbari na Uzayuni wa kimataifa dhidi ya Dini Tukufu ya Uislamu.
Habari ID: 3470392    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/17

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran ametoa wito kwa Waislamu kukabiliana na magaidi wakufurishaji pamoja na serikali vibaraka ambazo zinapata uungaji mkono wa Marekani na Utawala wa Kizayuni katika eneo la Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3470322    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/20